Friday, 9 September 2016

MAISHA YA UJANA

Aisee maisha haya yamejaa changamoto nyingi sana, kama kijana unapaswa uishi ukifahamu ya kwamba:-
* Muda ulionao unapaswa kutumiwa vizuri ili uweze kupata maendeleo katika maisha yako.

* Thubutu kuwa na ndoto katika maisha yako, hii itakusaidia kuweza kujua unataka nini katika maisha haya na sio kuishi kama bendera inayofuata upepo.

* Jifunze kutoka kwa watu wanaokuzunguka na vyanzo mbalimbali vya taarifa kama vile intaneti na vitabu .

* Usikate tamaa pale utakapofanya jambo na lisifanikiwe, kumbuka hata facebook unayoitumia wewe leo isingekua hapo ilipo kama sio moyo wa kusonga mbele alionao Mark zuckerberg.

     to be continued....

No comments:

Post a Comment